Thursday, 30 April 2015

TIGO TANZANIA JOBS

TIGO TANZANIA JOBS – APRIL 2015



English Fleet and Support Services Manager 3432 Dar Es Salaam Operations 27-Apr-2015
Ensure that facilities are efficiently organized and professionally administered as per the Tigo standards as well as Plan, organize and supervise operations and staff of the Fleet and Transport depart […]


English Head Of Data Sales 3369 Dar Es Salaam Sales & Distribution 20-Apr-2015
JOB PURPOSE Design coordinate and lead strategies to increase data usage/penetration by capturing new costumers/users and improving the experience to the existing ones with strong focus on their experi […]


English Consumer Understanding Manager 3368 Dar Es Salaam
20-Apr-2015
You are responsible to build company knowledge about consumer needs and behaviour, market dynamics and trends, and support brand strategy, innovation, product and process improvement, as well as conduc […]


English LTE Area Sales Manager 3362 Dar Es Salaam Sales & Distribution 17-Apr-2015
You are responsible for the development and performance of all LTE sales activities in assigned market, directs a sales team and provides leadership towards the achievement of maximum profitability and […]


English Head of Corporate Communications and CSR 3273 Dar Es Salaam Corporate Affairs 9-Apr-2015
JOB PURPOSE Reporting to the General Manager, the Head of Corporate Communications and CSR will manage internal and external engagements and Corporate Social Responsibility. You will initiate, manage a […]


English Country Manager Tanzania – EduMe 3312 Dar Es Salaam Commercial 8-Apr-2015
JOB PURPOSE We are building a global mobile-first education service to bring education to millions of people online and on mobile. . To pursue our ambitious expansion strategy, we are looking for a Cou […]


English Distribution Development Manager 3283 Dar Es Salaam Sales & Distribution 2-Apr-2015
JOB PURPOSE You are responsible for the development of distribution policies, monitor and tracking compliance as well as managing projects, tracking sales and distribution activities. THE WAY WE WORK Y […]


English Head of Digital 2992 Dar Es Salaam Commercial 23-Mar-2015
To lead the transformation of the local operation into a true digital lifestyle company. As Africa converges on digital, leapfrogging traditional or analogue channels, barriers that have separated supp […]


English RAN Network Quality Supervisor 2308 Dar Es Salaam Operations 12-Aug-2014
You are responsible for Performing RAN Network Audits and network bench marking, prepare different KPI Dashboards, Track and Monitor Network Degradations, and follow up on the

JOBS VACANCY: ILALA MANICIPAL COUNCIL

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala anapenda kuwatangazia nafasi za kazi Watanzania wenye sifa kama ifuatavyo:-
1. MTENDAJI WA MTAA III – NAFASI 30
SIFA
Kuajiriwa mwenye Elimu ya Kidato cha IV au VI aliyehitimu Astashahada (CHETI) katika fani ya Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Jamii kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
KAZI YA MAJUKUMU
i. Katibu wa Kamati ya Mtaa
ii. Mtendaji Mkuu wa Mtaa
iii. Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmashauri katika Mtaa
iv. Mshauri wa Kamati ya Mtaa kuhusu Mipango ya Maendeleo katika Mtaa
v. Msimamizi wa Utekelezaji wa Sheria Ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Mtaa.
vi. Mshauri wa Kamati ya Mtaa kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama
vii. Msimamizi wa utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji wa njaa na Umaskini katika Mtaa;
viii. Kusimamia ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi wote;
ix. Kuandaa na kutunza rejesta ya wakazi wote wa Mtaa na
x. Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.
NGAZI YA MSHAHARA – TGS. B
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II – NAFASI II – NAFASI 10
SIFA:
Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV/VI wenye cheti cha Utunzaji Kumbukumbu kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
KAZI NA MAJUKUMU
Wasaidizi wa kumbukumbu watafanya kazi zifuatazo hapa chini kwa kuzingatia fani walizosomea na kazi wanazofanya ni kama vile Uhifadhi wa Nyaraka, Uhifadhi wa Kumbukumbu za Afya, Ardhi na Masjala ya Kawaida,
1 KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II
Daraja hili la mafunzo katika kazi, hivyo atafanya kazi kwa maelekezo ya wasaidizi wa kumbukumbu walio juu yake. Kazi atakazojifunza na kufanya ni zile zifanywazo na Msaidizi wa Kumbukumbu daraja la I.
2. KAZI ZA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA I
i. Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji
ii. Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa kumbukumbu/nyaraka.
iii. Kuchambua, kuoredhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika makundi
kulingana na somo husika (classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya ofisi.
iv. Kuweka/kupanga kumbukumbu/nyaraka katika reki (file racks/cabinets) katika
masjala/vyumba vya kuhifadhia kumbukumbu.
v. Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka n.k) katika mafaili.
vi. Kushughulikia maombi ya kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali.
NGAZI YA MSHAHARA – TGS. B
MASHARTI YA JUMLA
Mwombaji lazima awe Raia wa Tanzania
Awe amehitimu na kupata Cheti cha Taaluma cha Kidato cha Nne (IV) NB. Results Slip hazikubaliki.
Awe na Cheti cha Kuzaliwa
Barua zote ziambatane na nyaraka zifuatazo:-
i. Nakala za Vyeti vya Mwombaji vilivyothibitishwa,
ii. Maelezo binafsi ya Mwombaji (Curriculum Vitae),
iii. Picha ndogo za rangi (Coloured Passport size) mbili (2) za Mwombaji za hivi karibuni.
Kila Mwombaji lazima awe na Umri kati ya miaka 18 – 45
Waombaji wenye sifa Pungufu au Zaidi na zilizotajwa hapo juu hawashauriwi kuomba kwani maombi yao hayatafanyiwa kazi.
Watumishi waliopunguza kazi/kufukuzwa kazi Serikali hawashauriwi kuomba
Waombaji ambao wameajiriwa wanashauriwa kupitishia barua zao za maombi kwa waajiri wao wa sasa.
Barua ambazo hazikuambatishwa na nyaraka zilizotajwa hapo juu (i–iii) hazitashughulikiwa.
JINSI YA KUTUMA MAOMBI
Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono, zikiwa na anwani kamili ya Mwombaji, pamoja na namba ya simu na zitumwe kwa anuani ifuatayo:-
MKURUGENZI WA MANISPAA
MANISPAA YA ILALA
S. L. P 20950
DAR ES SALAAM.
TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI:-
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 14/05/2015 saa 9:30 Alasiri
Tangazo hili linapatikana pia kwenye Blog ya Manispaa ya Ilala – www.habariilala.blogspot .com
Limetolewa na;
ISAYA M. MNGURUMI
MKURUGENZI WA MANISPAA,
HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA

Monday, 27 April 2015

Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015. (Zicheki hapa kwa urahisi)

27th Of April,2015.

Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa.
kwa Maelekezo zaidi tafadhali soma taarifa zifuatazo: